<?xml encoding="utf-8" ?>
Aayah Zipi Za Kusomwa Katika Swalaah Ya Sunnah Ya Alfajiri
SWALI:
Assalaam alaykum Warahmatullah Wabarakatuh baada ya maamkizi hayo mema shukran zangu ziende kwa Mola wetu aliyetuumba Subhaana Wa Taala na pia alhidaaya. Sheikh nina maswali mengi kuhusu swala itakuwa vizuri kama utapata muda kunielimisha.