Maswali: Surah-Du'aa
Surah-Du'aa
<?xml encoding="utf-8" ?>
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Suwrah Al-Faatihah Ikikosewa Kusomwa Na Imaam Swalaah Yake
Au Za Maamuma Hubatilika?
SWALI:
Asalam alaykum warrahmatullah wabarakat
swali langu ni kwamba kukosea kuisoma vizuri surat FATIHA kunaharibu swala? na kama imam ndio kakosea kuisoma surat FATIHA, je swala za watu wanaomfuata pia zinaweza kuharibika?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
SW
ALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuomba Du’aa Pamoja Baada Ya Swalaah Na Kunyanyua Mikono Je, Ni Sunnah Au Bid-ah?
SWALI:
assalam alaykum warahmatullah wabaraqatuh,
katika misikiti mingi tunasoma dua kwa pamoja (imam au mtu mwengine anasoma na wengine tunaitikia) jee hii ni sunna,faradhi au bidaa na kama haifai tuombe vipi baada ya swala.
Allah atuzidishie iman na mapenzi ya dini yetu wasalam
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kusoma Du'aa Ya Qunuwt Katika Swalaah Ya Alfajiri Ni Sunnah?
SWALI
Assalam alaikum,
Mimi swali langu ni kuhusu du’aa qunut katika sala ya fajr ktk rakaa ya pili. Jee dua hii ni sunnah au fardh? Ahsante.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
SWALI: