Maswali: Qur-aan
Quraan
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kusujudu Baada Ya Kusoma Aayah Yenye Sajdah (Sijdah At-Tilaawah)
SWALI:
Kuhusu sijida ya kisomo, nataka kujua ulazima wake: jee ni lazima mara tu ukizisikia ayah hizo kusujudu hata kama huna udhu japo kwa ishara. jee kuna ushahidi wowote.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mlio Wa Simu Wa Qur-aan Akisikia Asiye Muislamu Inafaa?
SWALI:
Asalam Alaykum:
Swali langu ni kwamba, Kuna milio ya simu unapompigia mtu unaisikia wakati unamsubiri apokee (caller tune). Je kama Mkisto anakupigia na inakua anaisikia je ni sawa au? Nahitaji ufafanuzi wenu.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Ipi Bora Kuhifadhi Qur-aan Yote Bila Ya Kujua Maana Au Kuhifadhi Kidogo Kwa Maana?
SWALI:
Assalam alaykum warahmatuLLaahi wabarakatuhu. Nataka nipate ufumbuzi kuhufadhi Quran ni kusoma zwahiri, au nikuhifadhi bila ya kujuwa maana yake au ni kuhifadhi na maana yake? Kwa sababu nilisikia kama mtu akihifadhi Quran hataingiya motoni.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Aayah Ambazo Hukmu Yake Imefutwa Ni Zipi?
Swali:
Asalaam alaykum.
Naomba kuorodhoshewa Aayah zilizofutwa katika Quran (hazifanyi kazi kwa kushuka aya nyingine). Kwa upande wangu hili limekuwa tatizo kubwa sana hasa kutokana na nchi nnayoishi ni ngumu kupata watu wenye ilmu hii. Najua kuwa ni kazi kubwa kuorodhesha Aayah zote hizo lakini nakuombeni hata mungeandika makala inayohusiana na hilo.
<?xml encoding="utf-8" ?>
HikmahYa Kuteremshwa Qur-aan Kidogo Kidogo Na Kutokana Na Matukio
SWALI:
Kuna mantiki gani kwa Quran kushushwa kidogo kidogo, na tena mpaka kitokezee kisa ndio aya za Quraan zinashuka?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kujikinga Na Shaytwaan Katikati Ya Suwrah Unaposoma Qur-aan
SWALI:
Je, ikiwa unasoma Qur-aan na umeanza katikati ya sura inafaa kusema A'udhu BiLLaahi mina-shaytaanir-rajiym
JIBU
<?xml encoding="utf-8" ?>
Tiba Gani Zimo Katika Qur-aan?
SWALI:
Kwanza: Sura gani ndani ya Quran ukiisoma, yaondosha mawazo ao stress?
Kisha naomba nifahamu dawa za Blood pressure (high or low) na ya kisukari zilizomo ndani ya Qurani. Nimepata kusikiya asali ni dawa, je yatibu nini?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kulia Wakati Wa Kusoma Qur-aan Kunamaanisha Nini
SWALI:
Ningependa kuuliza swali kuhusu quran,unaposoma na ukawa unalia je nini?maana yake ni nini?