Maswali: Qur-aan
Quraan
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nataka Kujua Matumizi Na Fadhila Za Suwrah Yaasiyn na Ayatul-Kursiy
SWALI:
Nataka kujua matumizi na fadhila za Suwrah Yaasiyn na Ayatul Kursiy
Nina matumaini nitaafahamishwa vizuri nawatakia kila la kheri waislam wenzangu
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuweka Du’aa, Qur-aan Au Adhaan Kuwa Mlio Wa Simu
SWALI LA KWANZA:
asalam alaikum narudia kutuma ili swali mwanzo sikujibiwa.swali ni kwamba inafaa kutumia quraan kama mlio wa simu? kuweka liowa mpigaji au miito ya simu kutumia sura yeyote au adhana & dua najua unaweza kutumia qaswida. nitashukuru sana kila la kheri katika kuendeleza mtandao wa alhidaaya.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuandika Aayah Za Qur-aan Katika Ukuta
SWALI:
Assalama alaekum wa Rahmatu llahi wa barakatu.
Swali jee inafaa kuandika aya za Quraan katika ukuta wa nyumba compound wall.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Suwratul ‘Aswr Ina Siri Yoyote Kubwa?
SWALI:
Assalam Aleykum. Sifa Njema Anastahiki Rabb Wa Viumbe Vyote Allaah Tabaraka Wataa'alaa. Nimepata Kusikia Kuwa Suwrah Al-asr Ni Suwhra Ambayo Haina Kafu Pia Suwrah Hii Ina Siri Kubwa Ndani Yake. Je Naweza Kufafanuliwa Siri Hiyo.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Manufaa Gani Ya Ulevi Yaliyotajwa Katika Qur-aan Na Madhara Ya Kamari
SWALI:
Assalaamu alaikum warrahmatullahi wabarakatu, Katika suratul-bagarah ayah ya 219 inasema: Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa na manufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Swali langu ni hili: manufaa gani
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Anataka Tafsiri Na Ufafanuzi Wa Suwratun Nisaa
Aayah Ya 15 - (Wafanyao Machafu)
SWALI: