<?xml encoding="utf-8" ?>
Wakati Wa Swalaah Ya Adhw-Dhwuhaa (Dhuhaa)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wakati Wa Swalaah Ya Adhw-Dhwuhaa (Dhuhaa)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Mwanamke Asikate Nywele Kushabihiana Na Ukataji Wa Wanaume
Imaam Ibn Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
“Japokuwa mwanamke ameruhusiwa kukata nywele, lakini mkato wake wa nywele usishabihiane na mkato wa wanaume.”
[Asw-Swalaah, uk. 29]
Sifa Ya Mashaytwaan Wa Ki Bin-Aadam
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Vipi utaweza kuwatambua mashaytwaan wa ki bin-Aadam?
JIBU:
“Yeyote yule anayekuongoza katika maovu na mambo ya aibu basi yeye ndiye shaytwaan (katika mashaytwaan wa ki bin-Aadam).”
[Liqaa Al-Baab Al-Maftuwh (67)]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kosa Kusema “Nımefanya Juhudi Kubwa, Mengineyo Namwachia Allaah”
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Itikadi Ya Kupindua Viatu Vinapopinduka Haina Dalili
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Baadhi ya watu wanasema kuwa kuweko viatu vilivyopinduka juu chini inamaanisha kwamba Malaika haingii katika nyumba hiyo au Allaah Hatoitazama nyumba hiyyo. Je, mnasemaje kuhusu jambo hili?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Haijuzu Kusherehekea Valentine "Sikukuu Ya Wapenzi"
Imaam Ibn ‘Uthyamiyn (Rahimahu Allaah)
Aliulizwa Imaam Ibn ‘Uthyamiyn (Rahimahu Allaah):
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuswali Nyumbani Badala Ya Jamaa'ah Msikitini Kwa Sababu Ya Kuona Hayaa
Imaam Ibn ‘Uthyamiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Mimi naswali nyumba kwa sababu zifuatazo: Nina hayaa mno japokuwa naswali Swalaah nyingi za ziada (Sunnah) na naomba du’aa kila mara na kumtukuza Allaah. Je, Swalaah yangu nyumbani inakubalika?
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuweka Msahafu Kwa Ajili Ya Kutabarruk Na Kinga Ya Hasad Na Kijicho
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Kuvaa Dhahabu Katika Sherehe Na Mikusanyiko Ya Furaha
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je inaruhusika kwangu kuvaa dhahabu katika sherehe na mikusanyiko ya furaha?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kurudia Kuomba Du’aa Mara Tatu Ni Sunnah?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Katika shuruti za du’aa ni kukariri mara tatu. Na khatibu siku ya Ijumaa alisoma na akataja du’aa mara moja baada ya khutbah Msikitini. Je inajuzu hivyo?
JIBU: