<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Kupeana Mikono Na Wanaume Ajnabiy Akiwa Amevaa Glavu Mikononi
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Swali:
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Kupeana Mikono Na Wanaume Ajnabiy Akiwa Amevaa Glavu Mikononi
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Swali:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutumia Manukato Mazuri Siku Za Ramadhwaan
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Nini hukumu ya mtu aliyefunga na kutumia mafuta mazuri siku za Ramadhaan?
JIBU:
Hakuna ubaya kutumia na kunusa mafuta mazuri siku za Ramadhwaan isipokuwa kufukiza udi usikaribie hadi ukavuta pumzi za moshi na ukaingia tumboni.
<?xml encoding="utf-8" ?>
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wanawake Na Wanaume Kupeana Mikono (Katika Hafla Kwa Ajili Ya Kupongeza)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
SWALI:
Je, inaruhusiwa mwanamume kumpa mkono mwanamke ambaye si mahram wake; ukizingatia kuwa wanaume husimama kwa ajili ya kuheshimiana na hupeana mikono?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kujifunika Kichwa (Kuvaa Kofia Kilemba n.k) Katika Swalaah
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
“Kujifunika kichwa (kuvaa kofia, kilemba n.k) katika Swalaah ni khiari ya mtu kwa kuwa ‘awrah (sehemu za siri) ya mtu ni baina ya kitovu na magoti yake. Lakini mtu anapaswa anaposwali avae mavazi mazuri na yaliyo bora kabisa na avae kama wanavyovyaa watu wa nchi aliyoko.”
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutaja Jina La Allaah Msalani
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je, inajuzu kumdhukuru Allaah akiwa msalani? Yaani sehemu za kujisaidia haja kama chooni, msalani, bafuni kama vile kusema “Subhaana Allaah” au “AstaghfiruLLaah” anapokuwa amekaa kujisaidia (haja ndogo au kubwa)?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Hukmu Ya Kujiita Au Kuitwa “Haji Fulani”
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuchukua Vifaa Vya Hospitali Bila Kutambua Kuwa Ni Dhambi; Je, Arudishe?
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Haijuzu Kuweka Au Kutundika Jina La Allaah Na La Muhammad Sambamba
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthyamiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
Haijuzu kuweka Jina la Allaah na jina la Muhammad sambamba kwa sababu hii ni aina ya shirki na kumlinganisha kiwizani Allaah na Rasuli Wake.
[Nuwr ‘Alaa Ad-Darb (2/4)]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Du’aa Kumuombea Mzazi (Aliyefariki) Katika Swalaah Ni Bora Kuliko Kumchinjia Mnyama
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amejibu alipoulizwa swali kuhusu kumchinjia mzazi aliyefariki, Akajibu: