<?xml encoding="utf-8" ?>
Bi Harusi Kujipamba Katika Mipaka Ya Shariy’ah Ya Dini
Swali:
In Shaa Allaah mutakuwa katika hali ya uzima na malipo mema kwa Allah amin.
Wanawake
<?xml encoding="utf-8" ?>
Bi Harusi Kujipamba Katika Mipaka Ya Shariy’ah Ya Dini
Swali:
In Shaa Allaah mutakuwa katika hali ya uzima na malipo mema kwa Allah amin.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuvaa Nywele Za Bandia Kufunika Nywele Kwa Sababu
Ya Kukatazwa Hijaab Katika Chuo Anachosoma
Swali:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Hijaab Ya Sharyi'ah Inahusu Kufunika Uso Na Miguu?
SWALI:
Naomba nifahamishwe hijabu ipasavyokuwa, je uchi wa wa mwanamke does it include miguu? since summer is nearing most of us are shoping for open shoes, is it allowed, I know other madh-habs say we should infact cover our whole faces but I don’t think the qur'an specifies that in particular?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kujipaka Cream Kwa Ajili Ya Kuung’arisha Uso
Swali:
Mimi nimeolewa na nina watoto watano, nataka kujua kama niko kwenye dhambi au la kwani ni bora mwanadamu kufanya mambo ambayo Allaah anayapenda, Alhamdulillah naswali na kufuata mwanamke jinsi anavyotakiwa.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Asiyempambia Mumewe Bali Anajipamba Akienda Harusini
SWALI:
Je nawaulizaje kwani ikiwa mtu anaolewa na pia hampambi mumee, akijipamba huwa yuwenda harusini, hata kujifukiza hafanyi angoja mpaka harusi je huyo mtu ana makosa? Ama dhambi?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Anavaa Hijaab Lakini Anavaa Suruwali Ya Kubana Anaposwali,
Je, Swalaah Yake Inakubalika?
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wanawake Kuvaa Nguo Wazi Fupi, Zisizo Na Sitara Mbele Ya
Wanawake Wenzao Wakiwa Harusini
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kufukiza Ubani Na Mwanamke Kukaa Arubaini Anapojifungua Inafaa?
SWALI:
Nimesoma kuwa kuchoma ubani ni mila ya makafiri walioingia ktk uislam lakini ktk usilamu hakuna arobaini ila kwa mama aliyejifungua tu hebu nipe ufafanuzi.
JIBU
Mwanamke Kujipamba Mbele Ya Shemeji Au Wasiokuwa Maharimu Zake
SWALI:
Asalam alykum samahani saaaaaaana kwa usumbufu wowote utakaotokea kwa suali hili .
mimi nauliza nimeambiwa usioneshe mapambo yako mwanamke unapotoka sasa mimi niko ndani kwangu na nakaa na shemegi zangu au shemegi yangu na mume wangu ametoka sasamimi nikajipamba na kumsubiri mume wangu arudi kazini na kujipamba kwangu pengine ni kujitia manukato au rangi ya mdomo na nguo ambazo za stara kwa vile muna watu nimevaa sasa mimi sipati dhambi wao wanapo niona na zile rangi usoni na kunisikia harufu. na pia kaja mtu nnae mfaham ambae ni jamaa wa mume wangu nikamfungulia mlango na hali nimejipamba kama hvo mwanzo pia sipati dhambi akiniona na mimi niko kwangu
JIBU:
AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho