Jamii
Jamii
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wakati Mgumu Katika Historia Ya Kiislamu (Jinsi Ya Kuisoma Historia)
Imefasiriwa Na:
Muhammad Faraj (Rahimahu-Allaah)
Tukiendelea na fadhila za kusuluhisha waliogombana wakakhasimiana, na iwapo baada ya kusoma mada hii tutazithamini fadhila hizi, basi kila mmoja wetu atakimbilia kufanya hima ya kupatanisha ndugu zetu wa Kiislamu waliokhasimikiana. Allaah سبحانه وتعالى Amelichukia jambo hili kwani linavunja asili ya undugu wa Kiislamu kama Anavyosema :
((إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ))
((Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu)) [Al-Hujuraat: 10]
Na kwa jinsi jambo hili lilivyochukiza hadi kwamba Allaah سبحانه وتعالى Anakataa kupokea 'amali za watu waliokhasimiana mpaka wapatane, na hawasamehe watu hao:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Aayah Zilizodhulumiwa
Kimeandikwa na: Dr. ‘Umar bin ‘Abdil-‘Aziyz Qurayshi
Kimetafsiriwa na: Muhammad Faraj Saalim As-Sa’y (Rahimahu-Allaah)
'Khutbah ya Ijumaa Msikiti wa Jaami'ah, Nairobi 28 Rabi’ul Awwal 1429 (04/04/2008)'
Imetayarishwa na: 'Abdun-Naaswir Hikmany