Maswali: Mirathi
Mirathi
<?xml encoding="utf-8" ?>
Baba Amefariki Ameacha Mjane, Ndugu, Watoto Na Anamiliki Nyumba
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wamefariki Kabla Ya Kupewa Mirathi
SWALI:
Swali langu ni lifwatalo. Baba amekufa na ameacha mke na watoto wawili na hawo watoto wake wawili wako na watoto. Baada ya muda mke wa baba kafariki kabla hajapewa mirathi yake. Je mtoto wake anaweza kupewa mirathi ya mama yake ambayo angepashwa kupewa kutoka kwa mme wake aliyo fariki?
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mjomba Alimnunulia Mama Yake Nyumba Akafiriki,
Mama Naye Amefariki Na Ameacha Watoto
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mama Amecha Watoto Wa Kike Wawili Wanaume Watatu
Aliachika Kwa Mumewe Kabla Kufariki
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mama Amefariki Ameacha Watoto Wanne, Ana Shamba Kabla Ya Kufariki Aliolewa
Na Mume Mwingine Ambaye Hakuzaa Naye
SWALI:
Asalam alaikum
Sifa zote ni za Allah Subhanna wa Taalaa. Kwa kutuwezesha kuvuta pumzi mpaka dakika ya sasa.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mzazi Kumuuzia Nyumba Mtoto Mmoja
SWALI:
assalam aleikum.
swali langu ni: Tuna nyumba ya familia kubwa kwa majina yetu yaani ndugu sote isipokua jina la baba na mama. na ikiwa baba ama mama ana nyumba yake mwenyewe na anataka kumuuziya mmoja wa watoto wao kisheria inawezekana? Ama atakuwa amewadhulumu watoto wengine kwa kuwa hakuwagawiya? tafadhali naomba jibu.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Babu Amefariki Ameacha Watoto 7 Wa Kike...
SWALI:
Asalam aleykum wa rahmatullah wabarakatu,
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nani Mwenye Haki Kuchukua Vyombo Vya Mume Wangu Aliyefariki?
SWALI:
Ni haki kuchukua vyombo nilivyokuwa na tumia na aliyefariki mume wangu. Vyombo hivyo viko kwa baba wa aliyefariki mume wangu. Na mimi nimesharudi kwetu, na watoto wanaishi na babu yao. Mimi sijachukua kitu chochote. Na Mali za Mume wangu ni pamoja na gari na linafanya kazi. Ni haki nami nipate senti.