<?xml encoding="utf-8" ?>
Fataawaa Kuhusu Tahniyk (Kumrambisha Mtoto Mchanga Kitamu Kitamu)
Imaam An-Nawawiy, Imaam Ibn Baaz,
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahumu Allaah)
Fataawa Mbalimbali
<?xml encoding="utf-8" ?>
Fataawaa Kuhusu Tahniyk (Kumrambisha Mtoto Mchanga Kitamu Kitamu)
Imaam An-Nawawiy, Imaam Ibn Baaz,
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahumu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swalaatur-Raghaaib Bid‘ah Inayochukiza Mno Inapaswa Kukemewa
Imaam An-Nawawiy (Rahimahu-Allaah)
Imaam An-Nawawiy amesema kuhusu Swalaatur-Raghaaib (inayoswaliwa mwezi wa Rajab): “Hiyo ni bid’ah inayochusha na inayokanushwa kwa nguvu, imejumuisha maovu kadhaa. Hivyo inapaswa kuachiliwa mbali na kukemewa kwa mwenye kuitekeleza.”
[Fataawaa Imaam An-Nawawiy (Uk. 57)]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Usiswali Nyuma Ya Anayesema Qur-aan Imeumbwa
Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah)
Mtu alimuuliza Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) akamwambia:
Fataawaa
Maudhui Za Hukmu Mbali Mbali