Al-Lajnah Ad-Daaimah
Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mwanamme
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Swalaah ya Ijumaa ni fardhi kwa kila mwanamme mwenye kukafilika katika ‘Ibaadah, mkazi, wala haikupasi kuikhalifu kwa sababu ya kazi hata kama mwajiri wako atakukataza.
[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/185)]