<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Anayefariki Wakati Wa Kuzaa Anazingatiwa ni Shahidi
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Fataawa Za Al-Lajnah Ad-Daaimah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwanamke Anayefariki Wakati Wa Kuzaa Anazingatiwa ni Shahidi
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Fataawa al-Lajnah ad-Daaimah lil-Buhuwth al-'Ilmiyyah wal-Iftaa
Majini Wanajua Ghayb?
<?xml encoding="utf-8" ?>
Haijuzu Kwa Muislamu Kusherehekea ‘Iyd Zisizokuwa Za Kiislamu
Wala Kushiriki Lolote
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Muislamu anayemwamini Allaah kuwa ni Rabb, na Uislamu kuwa ni Dini, na kumwamini Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kwamba ni Nabiy na Rasuli – haijuzu kwake kusherehekea ‘Iyd ambazo hazina asili katika Dini ya Kiislamu.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Hukmu Ya Kujenga Jengo La Sinema (Thieta ) Au Kuendesha Kazi Zake
Al-Lajnah Ad-Daaimah
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Haifai Kuswali Nyuma Ya Maibaadhi; Ni Kundi Potofu La Kikhawaarij
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Uhakika Wa Ibn Taymiyyah Ni Ahlus-Sunnah Wal-Jam’aah
Al-Lajnah Ad-Daaimah
SWALI:
Watu wanasema kwamba Ibn Taymiyyah alikuwa si mmoja katika Ahlus-Sunnah wal-Jamaa’ah, na kwamba alipotea na kuwapotosha wengine, na kwamba hili ni kwa maoni ya Ibn Hajar na wengineo. Je, kwa hayo wanayoeleza ni kweli au la?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mtu (Mwanamme)
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Swalaah ya Ijumaa ni Fardhw ‘Ayn (Fardhi kwa kila mtu mwanamme) wala haijuzu kuiacha kwa sababu ya kazi au masomo na sababu kama hizo.
Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):
“Na yeyote anayemcha Allaah; Atamjaalia njia ya kutoka (shidani).”