Maswali: Twahara Najsi
Twahara Najsi
<?xml encoding="utf-8" ?>
Anaweza Kuswali Ikiwa Atatokwa Na Manii Bila Ya Kitendo Cha Ndoa?
SWALI
Je, mtu akishikana na mkewe mpaka akatoka manii bila ya kufanya tendo la ndoa anaweza kusali bila ya kuoga janaba?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mkojo Ni Najisi Ikiwa Nguoni Au Ardhini Kuondoa Kwa Maji Au Mchanga?
SWALI
<?xml encoding="utf-8" ?>
Jinsi Ya Kuondosha Najisi Ya Mbwa Kwenye Nguo
SWALI:
Swali langu ni kwamba, Je hii najis inaondoshwa vipi ya mbwa? na je akininusa juu ya nguo sio kwenye ngozi inabidi nikoshe zile nguo tu au na mimi mwenyewe nijikoshe? na je inanuiwa vipi wakati wa kujikosha na kuiondosha hii najsi ya mbwa?
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutumia Toilet Paper Kwa Kujisafisha Choo
SWALI:
Inafaaa kujisafisha haja ndogo (mkojo) kutumia toilet paper?
JIBU:
AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho
SWALI:
Asalam alaikum ndugu waislamu