Maswali: Twahara Wudhuu
Twahara Wudhuu
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wudhuu Unatenguka Akipeana Mkono Au kugusana Na Asiye Muislamu?
SWALI:
Kupeana mikono kwa kusalimiana na mtu mwanaume mwenzangu lakini si muislamu (mkristo) inatengua udhu?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuna Du'aa Maalumu Za Kujitwaharisha Janaba Hedhi Au Nifasi?
SWALI:
Assalam Aleikum
naomba tafadhali unisaidie na Dua ya Janaba na piya Dua ya Hedhi (wakati wa kujitoharisha).
shukran
ma'asalaam
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kwa Nini Mtu Akila Nyama Ya Ngamia Wudhuu Unatenguka?
SWALI LA KWANZA:
Bismillah rahmani rahim.
Namshukuru Allah Muumba wa ulimwengu kwa kunikubalia kujiunga na mtandao huu (Allhamdullillahi Rabill allamina)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kupaka Rangi Ya Kucha Na Kutia Wudhuu Inafaa?
SWALI:
Asalam aleikum waramtullahi wabarakatu.
Mimi ninauliza jee mwanamke kujitia rangi ya kucha (cutex) nakisha huku ana shika udhu na kuswali ile swala yake ina faa?
shukran.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kukata Kucha Ni Lazima Siku Ya Ijumaa Au Inafaa Kukata Siku Nyenginezo?
SWALI:
Why did Mtume Muhamad Salla Allaahu alayhi wa sallam used to cut his nails on Friday. What was the reason for cutting his nails on Fridays. Please advise
JIBU
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nini Hukmu Ya Wudhuu Wangu Ikiwa Natokwa Na Pumzi Kila Mara?
SWALI:
Asalam Aleikum
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutengukwa Na Wudhuu Katika Swalaah Ya Jamaa
SWALI:
Kama unasali jamaa kati kati ukatengukwa na udhu utahitajika kuondoka pale pale au usubiri umalize then utie udhu usali tena? ukizingatia jamii yetu wengi hatujui namna ya kupishana katika sala ukitokewa na udhuru.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wudhuu Unatenguka Ukimuosha Mtoto Mchanga?
SWAL LA
KWANZA: