Maswali: Posa-Sherehe
<?xml encoding="utf-8" ?>
Sikumpa Mahari Mke Wa Kwanza, Kisha Nikaoa Wa Pili Na Kumpa Mahari
Je, Ni Haki Kufanya Hivyo?
SWALI:
Asalam aleykum warahamatullahi wabarakatu. suali langu linahusu kutolipa mahari kwa mke wa kwanza. nimeowa mke bado sijamlipa mahari yake nimeowa mke wapili nimemlipa mahari yake kabla sijamlipa yule wa kwanza je ni haki?
JIBU: