Muombe Mola wako Akujaalie katika wale ambao wanapopewa mtihani wanasubiri, kwani wengi wanaporomokea kwenye maasi kwa sababu ya kushindwa kusubiri kwa mitihani waliyopewa.
Zingatio La Wiki,
Muombe Mola wako Akujaalie katika wale ambao wanapopewa mtihani wanasubiri, kwani wengi wanaporomokea kwenye maasi kwa sababu ya kushindwa kusubiri kwa mitihani waliyopewa.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Zingatio: Subira Mbele Ya Walimwengu
Naaswir Haamid
Mtumwa anapomtumikia bwana wake huwa hana budi kutekeleza amri zote. Juu ya hivyo, atakapoambiwa ya kwamba utumwa wake unamalizika baada ya kumtumikia bwana, basi atafanya juhudi zake kumridhisha matakwa yake ili apate uhuru wake.