Zingatio
Zingatio La Wiki,
<?xml encoding="utf-8" ?>
Zingatio: Mwaka Mpya: Nyinyi Mna dini Yenu Nasi Tuna Diyn Yetu
Naaswir Haamid
<?xml encoding="utf-8" ?>
Zingatio: Krismasi 4: Zetu Ni ‘Iydul-Fitwr Na ‘Iydul-Adhw-haa
Naaswir Haamid
Amesema kweli Mola wetu Mtukufu (Subhaanahu wa Ta’ala):
{{Watu wamepambiwa kupenda matamanio ya wanawake, na wana (watoto), na mirundi ya dhahabu na fedha, na farasi asili, na mifugo, na mashamba. Hayo ni starehe ya maisha ya duniani; na kwa Allaah ndio kwenye marejeo mema.}} [Al-‘Imraan: 14]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Zingatio: Krismasi 2: Nabiy ‘Iysaa (عليه السلام) Hakuzaliwa Desemba
Naaswir Haamid
Hakika Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Ameikamilisha Diyn kwa kututaka tumuabudu Yeye peke Yake. Yeyote atakayechagua njia isiyoelekea kwa Muumba wa mbingu na ardhi haitakubaliwa.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Sisi Tutaingia Peponi?
Naaswir Haamid
Hili ni suala ambalo kila mmoja wetu yabidi ajiulize kwa dhati ya nafsi yake bila ya kujiongopea: “Hivi vitendo na maisha yalivyo sasa kweli nitakuwa ni miongoni mwa watakaonusurika na Moto?”. Allaah Atuepushe na huo Moto.