<?xml encoding="utf-8" ?>
Kukosa Rakaa Swalaah Ya Ijumaa Uswali Vipi?
SWALI:
Aaww,
Nahitaji kujua ikiwa umechelewa kufika msikitini wakati wa swala ya ijumaa na ukakosa rakaa ya pili unatakiwa kufanya nini.
1. Je inatosha kumalizia rakaa ya pili peke yako?
2. Au unatakiwa kuswali swalat dhuhur?
JIBU: