<?xml encoding="utf-8" ?>
Mtu Asiyeswali Na Anayekanusha Uwajibu Wa Swalaah Kuitwa Kafiri
SWALI:
In Shaa Allah Allaah awajalie kila la kheri. Ninataka kuuliza kuhusu hukumu ya mtu aliacha swalah. Katika mawaidha yaliotolewa na Sheikh Naasir Bachu ameeleza kuwa mtu aliacha swalah ni kafiri na hukumu yake kuuwawa. Swali langu ni Kama makafiri ambao hawakuamini Uislam hawapasi kuuwawa, vipi muislam aleye iacha swala auwawe.