<?xml encoding="utf-8" ?>
Sababu Za Kuwa Na Miezi Mitukufu
SWALI
nilikuwa na masuala yafuatayo.
Taqwa - Tazkiyyah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Sababu Za Kuwa Na Miezi Mitukufu
SWALI
nilikuwa na masuala yafuatayo.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Du’aa Gani Asome Ili Apate Mume Wa Kheri?
SWALI:
Assalam Aleikum,
Kwanza nawapongeza sana kwa website yenu, ni nzuri sana na inatusaidia sana kwa sisi vijana tuliokuwa mda mwingi kazini. Inanipa faraja sana kujua kuwa kila nnapotaka kusoma dua yoyote au kusikiliza naweza kuingia humu.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kumlipa Ubaya Aliyekutendea Maovu Au Kumsamehe?
SWALI:
Kumrudishia mtu mabaya aliyokufanyia unalipwa dhambi? Sina zaidi ni mwana funzi wenu.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kusujudu Pindi Unapomkumbuka Allaah Inafaa?
SWALI:
Asalamu alaikum
Napenda kuuliza hivi je inafaa kama mtu yu watembea kisha ukamkumbuka Allaah kisha ukasujudu palepale kwa ajili yake. wabilah taufiq
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Yepi Madhambi Makubwa na Yepi Madogo?
SWALI LA KWANZA:
Kuna siku niliwahi kuiskia Hadiyth inayosema kuwa "mtu akishamaliza kuswali akaleta tasbih mara 33, na tahmid 33 na takbir 33 na akamswalia mtume, Allah subhanahu wataala humfutia madhambi yake hata kama yana wingi kama mfano wa bahari, muhimu tu iwe ni makosa madogo", je makosa makubwa niyapi?
SWALI LA PILI:
Assalam aleikum
<?xml encoding="utf-8" ?>
Sadaka Inafaa Kupewa Ndugu Na Jamaa?
SWALI:
Asalam aleikum
Kwanza shukran ndugu zangu kjwa munayo yafanya katika hii website jazaa yenu aijua Allaah Azowaj Allaah, Allaah awape afya imaan na umri muendeleze kazi.
Nina swali kuhusu sadaka, je sadaka waweza kuwapa familia na ikawa kama sadaka ama itakuwa ni wajib kuwapa familia. Shukran wa jazakumAllaah bil kheir wa Allaah izidkum.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Inafaa Kwenda Kwa Shaykh Amuombee Du’aa Ya Kupata Mume?
SWALI:
Salam aleikum, ndugu zangu waislamu mimi ni mschana wa kiislam na napenda kuolewa, je nikienda kwa sheikh kuombewa dua ili Allah anifungulie rizki yangu, ntakua nimemshirikisha Allah. Tafadhali naomba mnisaidie nifanye nini
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kusikiliza Qur-aan Badala Ya Muziki
SWALI:
ASALAAM ALEIKUM! Mimi Huwa Napenda Sana Kusikiliza Qur-aan Wakati Nataka Kulala Na Huwa Naisikiliza Mpaka Napata Usingizi Ilhali Inaendelea Kusomwa.