Maswali: Aqiydah Shirki
Aqiydah Shirki
<?xml encoding="utf-8" ?>
Ukitaka Kitu Sana Ina Maana Unakiabudu?
SWALI:
Assalam alaykum, wahusika wa site hii na yeyote anayesoma. Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kupata nafasi hii ya kuuliza maswala. Na pia napenda kuwapongeza wahusika wote wa site hii kwani ina mafundisho mengi.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuapa Kwa Mswahafu (Qur-aan) Inafaa?
SWALI:
Assalam alaykum warahmutullahi wabarakatuh, sina budi kumshukuru Allah kwa mpaka hapa nilipifika, Allah atughufirie dhambi zetu na atujaaliye wenye kuipenda dini yetu na tupate uongofu kwake Amin, na nyinyi wana wa Alhidaaya Allah awamiminie kheri zake kwa kutuelimisha na mambo mengi humu. Amin
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuvaa Shanga Kwa Ajili Ya Itikadi Ya Kuzuia Mimba Ni Shirki?
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Itikadi Potofu (Superstitions)
SWALI:
JE inafaa kuamini ishara kama kuwashwa mkono wa kulia unapata pesa au kushoto unatoa na kweli inatoka nk... hii ni katika aina ya shirki au?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nini Maana Ya Unajimu (Kutabiri Kwa Nyota) Na Nini Hukmu Yake?
SWALI:
Assalam alakum wa Rahmatoullahi wa Barakatuh;
Nini maana ya unajimu, na upi hukumu yake katika uislam? Jazakallahul khayrun
JIBU: