Shaykh Fawzaan
Shaykh Fawzaan
<?xml encoding="utf-8" ?>
Mwenye Hedhi Kugusa Qur-aan Au Aayah Katika Simu Za Mkononi
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya mwanamke mwenye hedhi kugusa maneno ya Qur-aan ambayo yamo katika simu za mkononi?
JIBU:
(Hukmu ya Qur-aan iliyomo katika) Simu za mkononi, si (sawa) kama Qur-aan yenyewe (Msahafu) bali hiyo ni dijitali; kwa hiyo anaruhusiwa kuibeba au kuishika.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Maiti Hufurahika Na Kupumbazika Kwa Kutembelewa Na Kuombewa Du’aa
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Je, kuna dalili katika Shariy’ah kwamba maiti hufurahika pindi ahli zake wanapomtembelea kaburini?
JIBU:
Naam! Hufurahika na hupumbazika kwayo (kutembelewa) na hufurahika kwa du’aa anayoombewa.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Wajibu Wetu Kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)
Na Kukithirisha Kumswalia
Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah)
SWALI:
Nini wajibu wetu kwa Rasuli wetu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)? Na je, inatosheleza kumswalia kwa wingi?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuwaasi Na Kuwalaumu Walii Al-Amr Ni Kuasi Amri Ya Rasuli wa Allaah
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya mtu anayewaasi Walii Al-Amr (Viongozi wa nchi) na kuwalaumu?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutwaharisha Mate Ya Mbwa Yaliyoingia Nguoni Na Ngozini
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Vipi mtu ajitwaharishe mate ya mbwa pindi yanapoingia nguoni au ngozini kwa kulambwa na mbwa?
JIBU:
Aoshe mara saba.
<?xml encoding="utf-8" ?>
Maana Ya Ikhlaasw Katika ‘Amali
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Nini maana ya ikhlaasw? Na nini hukmu yake ikiwa mja atakusudia kinginecho (asiyekuwa Allaah) je, nini hukmu yake?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Amemaliza Hedhi Akiwa Safarini Katika Ndege Afanye Wudhuu Ili Aswali?
Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Tofauti Kati Ya Manhaj Na ‘Aqiydah
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
SWALI:
Je, kuna tofauti baina ya ‘Aqiydah Na Manhaj?
JIBU:
Manhaj ina maana pana zaidi kuliko ‘Aqiydah.
Manhaj inapatikana katika ‘Aqiydah na katika maadili na tabia na muamala; na katika maisha yote ya Muislamu.