<?xml encoding="utf-8" ?>
Kufupisha Kumswalia Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) Kwa Mfumo Wowote Haijuzu
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kufupisha Kumswalia Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) Kwa Mfumo Wowote Haijuzu
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuendelea Kuishi Na Mke Asiyeswali
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Hakuna Dalili Ya Kunyanyua Mikono BaadaYa Swalaah Za Faradhi
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kupiga Picha Na Kuweka Kwa Ajili Ya Kumbukumbu
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Nnapokwenda kutembea sehemu kadhaa pamoja na kundi la marafiki huwa napiga picha kuziweka kama kumbukumbu. Nini hukmu ya kupiga picha kwa ajili hii?
JIBU:
Hukmu ya kupiga picha kwa ajili hii ni haramu yaani ikiwa picha ni yenye roho (bin Aadam au mnyama).
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar
Imaam Bin Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Nini hukmu ya kutumia tasbihi kwa ajili ya kumdhukuru Allaah?
JIBU:
Hatujui dalili yake katika Shariy’ah kutumia shanga kwa ajili ya kusabbih, kwa hiyo ni bora kuacha na kufuata Sunnah ambayo ni kuhesabu kwa kutumia vidole.
[Fataawaa Islaamiyyah (8/368)]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Ni Nani Khawaarij; Je, Ni Makafiri Au Waislamu?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 03
Kauli "Utiifu (Uzalendo) Ni Kwa Ajili Ya Nchi"
<?xml encoding="utf-8" ?>
Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 02
Kauli "Kwa Haki Ya Muhammad"