<?xml encoding="utf-8" ?>
Anaweza Kufunga Swawm Za Sunnah Katika Mwezi Wa Shawwaal?
SWALI:
assalam alaikum warahmatu llahi wabarakatuhu,je inafaa kufunga sunna ya jumatatu na alhamisi katika mwezi huu wa shawwali?
JIBU:
Swawm Za Sunnah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Anaweza Kufunga Swawm Za Sunnah Katika Mwezi Wa Shawwaal?
SWALI:
assalam alaikum warahmatu llahi wabarakatuhu,je inafaa kufunga sunna ya jumatatu na alhamisi katika mwezi huu wa shawwali?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Sitta Shawwaal:
Ufafanuzi Wa Thawabu Za Sita Shawwaal Kama Swiyaam Za Mwaka Mzima
SWALI:
Asalam alaykum
Nataka kujua vipi imekusudiwa kuwa mtu akifunga sita atapata thawabu za mwaka mzima? Maana nimesikia kwamba ikiwa hukutimza Ramadhani basi hupati thawabu hizo je, ni kweli?
Nitashukuru kupata jibu kabla ya mwezi wa sita kwisha
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kulipa Deni Kwanza Au Kufunga Sita Shawwaal
SWALI:
Je infaa kwa mwanamke kulipa siku zake katika siku sita za mwanzo wa shawal halafu ndio nifunge hizo sita baada ya kulipa deni? Nilifamishwa na jamma kwa haifai kufunga kamwe katika siku sita kwa mwanamke aliekuwa na deni, eti ni kungoja mpaka sita zieshe ndio nione kulipa na kufunga sita za shawal. Tafadhali naomba ufafanuzi.
Shukran
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swawm Katika Mwezi Wa Rajab Ipi Ni Sunnah; Kufunga Mwezi Mzima Au Siku Maalumu?
SWALI:
Kwajina la Allah mwingi wa rehema, napenda kuuliza maswali yangu ambayo kidogo yananitatiza. Jee kuna suna ya kufunga swaumu katika mwezi wa Rajabu?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swawm Za Sunnah Mwezi Wa Rajab Ambazo Ana Mazoea Nazo
Kama Jumatatu Na Alkhamiys Inafaa Azifunge?
SWALI:
Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu ALLAH subhana wataala awalipe dunian na akhera kwa kutuelimsha swali langu mimi ni huwa nafunga kila jumatatu na alhamisi vp kuhusu mwezi huu?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Haifai Kufunga (Swawm) Ayyamut-Tashriyq (Masiku ya 11-13 Dhul-Hijjah)
SWALI:
je haifai kufunga yaumul baidh katika mwezi wa dul-hijja na kadhalika sunna ya ijumatatuna alhamisi kwa sababu nilivyo soma katika nasiha za ijumaa, nimefaham ni kwa ajili ya mahujaji tu sio kwa watu waliokua katika mchi zao.
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nini Sababu Ya Swawm Ya 'Arafah?
SWALI:
Assalam alaykum
Namshukuru Allah Suhaanahu Wataalah, nawashukuru nanyi kwa kutoa taaluma kwa nia hii. Maswali yangu ni: Ni ipi historia ya funga ya arafa? Jee, Mtume Muhammad (Swalla Allah alayh wassalam) alianza kufunga arafa kuanzia lini?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swawm Ya 'Arafah Ipi Sahihi Kufunga Kwa Kuwafuata Hujaji Au Kufuata Nchi Uliyoko
SWALI:
ASSALAAM ALAYKUM
NDUGU ZANGU KATIKA IMANI NAOMBA KUULIZA KATI YA MWEZI TISA NA MWEZI NANE NI SIKU GANI NI SAHIHI KUFUNGA ARAFA? NAOMBA UFAFANUZI WENU
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swawm Ya Nabiy Daawuwd Ukianza Kufunga Lazima Uendelee Haifai Kuacha?
SWALI:
Swawm ya Nabii Daawuud
Asalam alay kum warahmatullahi wabarakatuh
Mimi nataka kuwa nafunga swaumu kama ile ya nabiyyullahi iberaahiym na kula leo na funga kesho lakini mimi napenda kusafiri sana sasa inajuzu kwangu kufunga swaumu hiyo ama uki anza haijuzu kupumzika na hakuna udhuru wowote?
JIBU:
<?xml encoding="utf-8" ?>
Swawm (Funga) Ya Jumamosi Inapoangukia Siku Ya 'Arafah Au 'Aashuraa Inafaa?
Swali La Kwanza:
Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatu.
Shukran kwa kazi zenu munazofanya kuelimisha umma.
Tumeelezewa kwamba haifai mtu kufunga saum ya sita katika siku ya jumamosi, je hii ni sawa. Je ikiwa nafunga saum ya 13, 14 & 15 ikiangukia jumamosi nifunge au vipi? Shukran