Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Kuomba Kutoshelezwa Kwa Vya Halali Dhidi Ya Haramu Na Kutajirishwa Kwa Fadhila Za Allaah
066- Ee Allaah nitosheleze Vyako vya halali dhidi ya vyako ambavyo ni haramu
اللَّهُمَّ اكْفِنِي بِحَلالِكَ عن حَرَامِكَ وَأغْنِنِي بِفَضْلِكَ عَمَّنْ سِوَاكَ
Allaahumma akfiniy bi-halaalika ‘an-haraamika waghniniy bi-fadhwlika ‘an man siwaak
Ee Allaah nitosheleze na Vyako vya halali dhidi ya Vyako ambavyo ni haramu, na nitajirishe kwa fadhila Zako kutokana na asiyekuwa Wewe.
[At-Tirmidhiy, taz. Swahiyh Sunan At-Tirmidhy (2822)]