Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)
Kuomba Kinga Ya Tabia Ovu Za Kuchukiza Na Matamanio,
Matendo Na Maradhi
اللَّهُمَّ جَنِّبْنِي مُنْكَرَاتِ الاَخْلاَقِ وَالاَهْوَاءِ وَالاَعْمَالِ والأدْوَاءِ
Allaahumma jannibniy munkaraatil-akhlaaqi, wal ahwaahi, wal-a’maali, wal adwaai
Ee Allaah niepushe tabia ovu za kuchukiza na matamanio na na matendo, na maradhi
[Al-Haakim na kasema Swahiyh kwa sharti ya Muslim na ameikubali Adh-Dhahabiy. Kitabus-Sunnah (13) na ameipa daraja ya Swahiyh Al-Albaaniy]