Kumuombea kheri Mwenye kufa: Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) amesema, “Mtakapokuwa mnamuombea anayekaribia kufa au aliye shakuwa maiti muombeeni kheri kwani Malaika huitikia Amin kwa yale mnayoyaomba.” (Muslim) Book traversal links for Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti ‹ 14-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kauli ya Mwisho ya Mtu kuwa ni Laa ilaha illa llahi Up 16-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kumfunga macho na kumuombea atakapokufa ›