Maudhui Za Qur-aan
Misamiati Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu
Alhidaaya.com
K
|
Neno |
Maana |
Kiarabu |
| kabiri |
kubwa |
كبير |
|
kadamisha |
kutanguliza, |
قدم |
| kadimu | zamani, kale |
كريم |
| kadiri |
takdiri, kukadiria, kupima, kuthamini, kiasi, uwezo. pia ni Jina na Sifa tukufu ya Allaah ('Azza wa Jalla) kuwa ni Mweza wa kila kitu. |
قدير |
| kalifu | kulazimisha, kubebesha jukumu zito, kumtwika mtu jambo asiloliweza kiwepesi, kama kusema taklifu. |
كلف |
|
kalili |
قليلا |
|
| kalili | kidogo |
قليلا |
| karaha | kuchukia |
كره |
| karatasi | karatasi |
قرطاس |
| karimu |
1-Jina na Sifa ya Allaah ('Azza wa Jalla) Mkarimu, Mwenye ukarimu, utukufu. 2-ukarimu |
|
| kariri | kukariri |
كرر |
| kasimu | kugawa |
قسم |
| khabari | habari, taarifa. |
خبار |
| khabithi | habithi, mbaya, mtu mbaya au muovu. |
خبيث |
| khadaa | hadaa, kudanganya, kuficha yasiyokweli, kufanya khiyana |
خادع |
| khalifa | kiongozi wa Waumini |
خليفة |
| khalisi | yenyewe, makhsusi. |
خالص |
| khasimu | kukhasimikiana, kugombana, kuzozana |
خصم |
| khiana |
hiana, kuficha jambo pasi na haki khasa kwa ajili ya kujirudia manufaa mwenye kufanya khiyana. kupunja, kunyima pasi na haki |
خيانة |
| kidhibu | kukadhibisha, kusema uongo, kukanusha |
كذبوا |
| kitabu | kitabu, maandiko |
كتاب |
| kufuru, kufru | kufuru, kanusha, kufru, kafiri |
كفر |
| kurabaa | jamaa wa ukaribu wenye uhusiano wa damu |
قربى |
| kustakiri | kutulia |
قرار |
| kuti | chakula, rizki |
قوت |
-
Baadhi ya maneno ya Kiswahili yanatamkwa kwa herufi ya K ingawa herufi ya Kiarabu imekuja kwa herufi ya ق