Maudhui Za Qur-aan
Misamiati Yenye Asili Ya Lugha Ya Kiarabu
A
|
Neno |
Maana |
Kiarabu |
| Aakhirah | Akhera, Siku ya Mwisho |
آخرة |
| aali/a’laa | bora kabisa, adhimu, tukufu |
العلي/الأعلى |
| abadi | daima, milele, kamwe, katu |
أبدا |
|
abdi (Sing) abidi (Plur) |
mtumwa au mja wa Allaah |
عبد/عباد |
| abuwabi | milango |
أبواب |
| abyadhi | baidhati/eupe |
أبيض |
| adhabu |
adhabu, mateso. |
عذاب |
| adhimu |
enye sifa/liyotukuka, tukufu/aali/Jalili, kubwa mno. Jina na Sifa ya Allaah ('Azza wa Jalla): Mkubwa, Mtukufu Mno. |
عظيم |
| afriti | jini mbaya anayedhuru watu |
عفريت من الجن |
| afwaji | kikundi cha watu. |
أفواجا |
| ajili | harakisha |
أجل |
| ajmaina | pamoja, wote |
أجمعون |
| akhirisha | kuchelewecha |
أخر |
| akili | akili, bongo. |
عقل |
| alamina | ulimwengu, walimwengu. |
عالمين |
| ansari | mnusuraji, msaidizi |
أنصار/ أنصاري |
| ardhi | ardhi, nchi |
ارض |
| aridhi | mabadiliko katika hali ya mwili au akili ya mtu, kukengeuka, kugeukilia mbali jambo, kupuuza. |
عرض |
| arifu | taarifa, kutaarifu, kujulisha |
عرف |
| arshi |
-‘Arshi ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) iliyokuweko juu baada ya mbingu saba. -kiti cha enzi cha mfalme au mtawala. |
عرش |
| arzaki | wingi wa riziki |
أرزاق |
| asaa | huenda, pengine, labda |
عسى |
| ashirafu, karimu | tukufu, ukarimu, taadhima. |
كريم |
| ashiya | jioni, usiku |
عشية |
| asighari | ndogo kabisa |
أسغر |
| asilani | kamwe, abadani, katu, kiuhalisi |
أصلا |
| asira | mateka |
أسرى/ أسير |
| asisi | kuanzisha jambo au kitu |
أسس |
| ati! eti! |
neno la kutanabahisha jambo kumfanya mtu asikilize. Neno la kukanusha jambo kwa mshangao. |
ألا |
| atia | zawadi/kipawa |
عطاء |
| atibu |
toa makosa, kengemeka, shutumu. |
يستعتبون |
| atifali | watoto wadogo |
أطفال |
| auladi | watoto wa kiume |
أولاد |
| awlaa | bora zaidi, kiupambele |
أولى |
| azimia | kuazimia kutenda jambo. |
عزم |
| insi | binaadamu, mwanaadamu, mtu |
الإنس |
| istahabu | kupendekezeka, kuhiari, kupendelea |
أستحبوا |
| istihizai | isthizai, kejeli. |
إستهزاء |
| istiimaar | utaratibu ambao nchi moja hutawal nchi nyengine kama koloni. |
إستعمار |
| umuri | mambo |
أمور |