200سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة
Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah
لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ
Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)
Imefasiriwa na: Alhidaaya.com
034-Ni Ipi Hukumu Ya Mtu Mwenye Kupinga Mojawapo Ya Nguzo Za Kiislamu?
Swali:
س: ما حكم من جحد واحدا منها أو أقر به واستكبر عنه
Ni ipi hukumu ya mtu mwenye kupinga mojawapo, au akakiri na akafanya kiburi hizo?
Jibu:
ج: يقتل كفرا كغيره من المكذبين والمستكبرين مثل إبليس وفرعون.
Anauwawa kwa kukufuru, kama mwingine miongoni mwa wapingaji na wenye kiburi kama mfano wa Ibliys na Firawn.