Hadiyth Ya 14
لاَ يَحِلُّ دَمُ امْرِئٍ مُسْلِمٍ إلاّ بإحْدَى ثَلاَثٍ
Haipasi Kumwagwa Damu Ya Muislamu Isipokuwa Kwa Sababu Tatu
عن ابْنِ مَسْعُودٍ رضي اللهُ عنه قالَ: قالَ رسُولُ الله صلى الله عليه وسلم: ((لاَ يَحِلُّ دَمُ امْرِئٍ مُسْلِمٍ إلاّ بإحْدَى ثَلاَثٍ: الثَّيِّبُ الزَّاني، وَالنَّفْسُ بالنّفْسِ، وَالتَّارِكُ لِدِيِنِهِ الْمُفَارِقُ لِلْجَماعَةِ)) رَوَاهُ الْبُخَارِيّ وَمُسْلِمٌ
Imepokelewa kutoka kwa Ibn Mas’uwd (Radhwiya Allaahu 'anhu) ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Haipasi kumwagwa damu ya Muislamu isipokuwa kwa sababu tatu: Mzinifu aliyeolewa, uhai kwa uhai, na anayeacha Dini na akajifarikisha na jamaa-‘ah.” [Al-Bukhaariy, Muslim]