Imaam Ibn Baaz
Kusema “Karrama Allaah Wajhahu” Anapotajwa ‘Aliy (رَضِيَ اللهُ عَنْهُ) Nini Hukmu Yake?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
SWALI:
Je, inajuzu kusema “Karrama Allaahu Wajhahu” Anapotajwa ‘Aliy (رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)?
JIBU:
Hii ni mojawapo katika bid-ah za Mashia. Lililo sahihi ni kusema (Radhwiya Allahu ‘anhu) kama vile mfano inavosemwa anapotajwa Asw-Swiddiyq (Radhwiya Allahu ‘anhu), na ‘Umar (Radhwiya Allahu ‘anhu) na ‘Uthmaan (Radhwiya Allahu ‘anhu).”